Atimae timu ya Azam kwenda kwa kujiamini katika mchezo wa ugenini, timu ya Azam FC imejikuta ikivutwa shati baada ya kulazimishwa sare ya mabao 1-1 na timu ya Mwadui. Mechi hiyo ilichezwa juzi katika uwanja wa Mwadui Complex na kuishuhudia Azam FC ikiendelea kugandwa na jinamizi la sare.






PAMOJA na kwenda kwa kujiamini katika mchezo wa ugenini, timu ya Azam FC imejikuta ikivutwa shati baada ya kulazimishwa sare ya mabao 1-1 na timu ya Mwadui. Mechi hiyo ilichezwa juzi katika uwanja wa Mwadui Complex na kuishuhudia Azam FC ikiendelea kugandwa na jinamizi la sare.



 Sare hiyo inafanya Azam FC kufikisha jumla ya pointi 12 ikiwa na jumla ya michezo sita hadi sasa kwenye Ligi Kuu Bara. Katika mchezo huo bao la Azam FC limefungwa dakika ya tisa na nahodha Himid Mao "Ninja" kwa njia ya mkwaju wa Penalti baada ya beki wa kushoto Bruce Kangwa kuangushwa ndani ya eneo la hatari.



Azam ingeweza kujipatia mabao zaidi ya mawili katika kipindi cha kwanza kama mshambuliaji wake chipukizi, Yahya Zayd na Mbaraka Yusuph wangekuwa makini kutumia nafasi takribani tatu za kufunga mabao.

Comments

Popular posts from this blog

Siku ya jana yalifanyika maombi na mazishi mwimbaji mkongwe wa Msondo Ngoma, Shaaban Dede aliyefariki Alhamisi asubuhi, yamefanyika leo saa saba mchana na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa wakazi wa Dar es Salaam picha na sauti 5 bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Atimae Anthony Martian aongezwa katika orodha ya kusajiliwa katika msimu huu katika club ya Manchester United taharifa hiyo imetolewa na Arsene Wenger

Atimae Singida United kuanza maandalizi yake kuelekea msimu mpya wa ligi kuu tanzania bara