Wanafunzi wawili katika chuo cha UDSM wafariki dunia

Serikali ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam (DARUSO) kupitia Wizara ya Afya imesema kuwa imopokea kwa masikitiko taarifa ya ajali iliyotokea June 11, 2018 maeneo ya Riverside Ubungo Jijini Dar es salaam.

Ajali hiyo imehusisha Ambulance ya Chuo na Hiace iliyokuwa na wanafunzi ambao wametambulika kwa majina ya, Soko Maria Godian aliyekuwa anasoma mwaka wa kwanza, Steven .E. Sango aliyekuwa anasoma mwaka wa pili, James ambaye alikuwa dereva wa Ambulance.

Hata hivyo, taarifa hiyo ya DARUSO imeeleza kuwa mwanafunzi mwingine Abishai Nkiko aliyekuwa anasoma mwaka wa tatu bado anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na hali yake bado ni mbaya zaidi.

Comments

Popular posts from this blog

Siku ya jana yalifanyika maombi na mazishi mwimbaji mkongwe wa Msondo Ngoma, Shaaban Dede aliyefariki Alhamisi asubuhi, yamefanyika leo saa saba mchana na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa wakazi wa Dar es Salaam picha na sauti 5 bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Atimae Anthony Martian aongezwa katika orodha ya kusajiliwa katika msimu huu katika club ya Manchester United taharifa hiyo imetolewa na Arsene Wenger

Atimae Singida United kuanza maandalizi yake kuelekea msimu mpya wa ligi kuu tanzania bara