Klabu ya Arsenal ya nchini Uingereza ipo kwenye mazungumzo na kiungo waUruguay, Lucas Torreira anaekipiga Sampdoria inayoshiriki ligi ya Serie



Klabu ya Arsenal ya nchini Uingereza ipo kwenye mazungumzo na kiungo wa Uruguay, Lucas Torreira anaekipiga Sampdoria inayoshiriki ligi ya Serie A ili kuona kama wataweza kunasa saini yake.



Kiungo huyo wakati mwenye umri wa miaka 22 anapewa nafasi kubwa ndani ya the Gunners huku ikiripotiwa kutengewa bajeti ya pauni milioni 26.

Mpaka sasa hakuna makubaliano yoyote yaliyofikiwa kwa Torreira ambaye yupo nchini Urusi kwenye michuano ya kombe la Dunia. Mpaka sasa The Gunners imemsajili beki wa Uswis, Stephan Lichtsteiner kwa uhamisho huru akitokea Juventus.

Comments

Popular posts from this blog

Siku ya jana yalifanyika maombi na mazishi mwimbaji mkongwe wa Msondo Ngoma, Shaaban Dede aliyefariki Alhamisi asubuhi, yamefanyika leo saa saba mchana na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa wakazi wa Dar es Salaam picha na sauti 5 bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Atimae Singida United kuanza maandalizi yake kuelekea msimu mpya wa ligi kuu tanzania bara

Atimae Anthony Martian aongezwa katika orodha ya kusajiliwa katika msimu huu katika club ya Manchester United taharifa hiyo imetolewa na Arsene Wenger