Kusaga aacha ujumbe mzito msiba wa Kibonde ‘vijana tuache nyodo, kama uhai ni pesa basi watu wetu wasinge kufa”



Mkurugenzi wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga ametoa ujumbe mzito katika salamu za Clouds Media wakati wa mazishi wa mfanyakazi wao, Kibonde aliyefariki akiwa mkoani Mwanza akipatiwa matibabu.



” Hakuna msanii Mkubwa na maarufu zaidi ya Ruge wala zaidi ya Kibonde kwa hapa Tanzania. Hakika tuache majivuno ulimbukeni wa mali umaarufu na Madaraka Kwani hivi vyote ni vyakupita na tutaviacha Hapa Hapa Duniani.


Kama UHAI ungekua ni pesa basi watu wetu wasinge kufa maana tungetafuta pesa kwa namna yeyote ili ili ndg zetu wapone. Lakini hakuna Mtu yeyote Duniani mwenye uwezo wa kununua UHAI wala kuzuwia Mauti.


Vijana tupendane sana sana na tuache kujivuna na kujiskia”- Mkurugenzi Mkuu Clouds Media Group’ Joseph Kusaga J Kusaga. RIPkibonde


chanzo    BONGO 5

Comments

Popular posts from this blog

Siku ya jana yalifanyika maombi na mazishi mwimbaji mkongwe wa Msondo Ngoma, Shaaban Dede aliyefariki Alhamisi asubuhi, yamefanyika leo saa saba mchana na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa wakazi wa Dar es Salaam picha na sauti 5 bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Atimae Singida United kuanza maandalizi yake kuelekea msimu mpya wa ligi kuu tanzania bara

Atimae Anthony Martian aongezwa katika orodha ya kusajiliwa katika msimu huu katika club ya Manchester United taharifa hiyo imetolewa na Arsene Wenger