Hatimae simba wiki hii simba yapokea kichapo na timu ya wenyeji wao wa afrika kusini katika kujipima nguvu




VIGOGHO wa Soka Tanzania, Simba SC mapema wiki hii wamejikuta wakipoteza mchezo wao wa kwanza wa kujipima nguvu katika kambi yao ya Afrika Kusini kujiandaa na msimu mpya baada ya kufungwa 1-0 na wenyeji, Orlando Pietes. 


Kwa mujibu wa msemaji wa Simba SC, Hajji Sunday Manara Simba inayofundishwa na kocha Mcameroon Joseph Omog ilicheza vizuri pamoja na kufungwa.




 “Kwa mujibu wa maelezo ya benchi la ufundi mchezo ulikuwa mzuri na timu ilicheza vizuri lakini bahati ilikuwa kwa wenyeji wao kupata ushindi huo," amesema Manara. Manara amesema Omog anayesaidiwa na Mganda Jackson Mayanja aliwapa nafasi karibu wachezaji wote kucheza akipanga vikosi viwili tofauti kila kipindi.

Comments

Popular posts from this blog

Siku ya jana yalifanyika maombi na mazishi mwimbaji mkongwe wa Msondo Ngoma, Shaaban Dede aliyefariki Alhamisi asubuhi, yamefanyika leo saa saba mchana na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa wakazi wa Dar es Salaam picha na sauti 5 bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Atimae Singida United kuanza maandalizi yake kuelekea msimu mpya wa ligi kuu tanzania bara

Atimae Anthony Martian aongezwa katika orodha ya kusajiliwa katika msimu huu katika club ya Manchester United taharifa hiyo imetolewa na Arsene Wenger