BAADHI ya viongozi wa Simba, jana Jumapili waliwatembelea katika Gereza la Keko, rais wa klabu hiyo, Evans Aveva na makamu wake, Geofrey Nyange Kaburu


BAADHI ya viongozi wa Simba, jana  Jumapili waliwatembelea katika Gereza la Keko, rais wa klabu hiyo, Evans Aveva na makamu wake, Geofrey Nyange Kaburu
Aveva na Kaburu wapo gerezani hapo baada ya kufikishwa Alhamisi iliyopita wakituhumiwa kwa makosa matano ikiwemo la utakatishaji fedha.
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) ndiyo wamewashitaki viongozi hao ambapo baada ya kusomewa mashitaka yao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar Alhamisi iliyopita, walinyimwa dhamana na kupelekwa mahabusu ambapo kesi hiyo itatajwa tena Julai 13, mwaka huu.
Viongozi ambao walifika leo asubuhi kuwaona Aveva na Kaburu, ni Said Tully, Musleh Al Rawah, Haji Manara na Ally Suru.

Comments

Popular posts from this blog

Siku ya jana yalifanyika maombi na mazishi mwimbaji mkongwe wa Msondo Ngoma, Shaaban Dede aliyefariki Alhamisi asubuhi, yamefanyika leo saa saba mchana na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa wakazi wa Dar es Salaam picha na sauti 5 bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Atimae Anthony Martian aongezwa katika orodha ya kusajiliwa katika msimu huu katika club ya Manchester United taharifa hiyo imetolewa na Arsene Wenger

MTIBWA Sugar FC iliangusha pointi za kwanza baada ya kucheza mchezo wa nne msimu huu. Baada ya kuzishinda timu tatu kutoka Kanda ya Ziwa (Stand United, Mwadui FC, Mbao FC) mabingwa hao mara mbili wa zamani walilazimika kusawazisha goli la Zubery Daby na kupata sare ya kufungana 1-1 dhidi ya Ruvu Shooting ya Pwani katika mchezo wao wa kwanza ugenini.