MASHABIKI wa Yanga wamejawa na furaha baada ya kusikia kwamba klabu yao imefanikiwa kumrejesha tena kundini straika wake raia wa Zimbwabwe Donald Ngoma aliyekuwa anawaniwa na Simba.







MASHABIKI wa Yanga wamejawa na furaha baada ya kusikia kwamba klabu yao imefanikiwa kumrejesha tena kundini straika wake raia wa Zimbwabwe Donald Ngoma aliyekuwa anawaniwa na Simba. 


Ngoma amesaini tena mkataba wa miaka miwili Yanga baada ya kuwatikisa mabigwa hao kwamba alikuwa anakwenda Simba, huku pia kukiwa na habari kwamba amesaini klabu ya Polokane City FC ya Afrika Kusini.



 Hata hivyo uhakika ni kwamba Ngoma alikuwa anawatikisa ili awafike mzigo anaotaka na kwamba mwanasoka huyo ameikomba Yanga kiasi cha dola 60,000 ambazo ni zaidi ya sh mil 120 za Kitanzania.

Comments

Popular posts from this blog

Siku ya jana yalifanyika maombi na mazishi mwimbaji mkongwe wa Msondo Ngoma, Shaaban Dede aliyefariki Alhamisi asubuhi, yamefanyika leo saa saba mchana na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa wakazi wa Dar es Salaam picha na sauti 5 bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Atimae Anthony Martian aongezwa katika orodha ya kusajiliwa katika msimu huu katika club ya Manchester United taharifa hiyo imetolewa na Arsene Wenger

MTIBWA Sugar FC iliangusha pointi za kwanza baada ya kucheza mchezo wa nne msimu huu. Baada ya kuzishinda timu tatu kutoka Kanda ya Ziwa (Stand United, Mwadui FC, Mbao FC) mabingwa hao mara mbili wa zamani walilazimika kusawazisha goli la Zubery Daby na kupata sare ya kufungana 1-1 dhidi ya Ruvu Shooting ya Pwani katika mchezo wao wa kwanza ugenini.