Hatimae kocha wa makipa wa Yanga Juma Pondamali kuwa ameachana na kipa wao Deogratius









KAULI iliyotolewa na kocha wa makipa wa Yanga, Juma Pondamali kuwa ameachana na kipa wao Deogratius Munishi "Dida" imeonyesha kuwashitua mashabiki wengi wa klabu hiyo.


 Wengi wamekuwa wakihoji sababu ya Dida kuondoka na wengine wakitaka kuvuta subira. Lakini wako mashabiki wa Yanga wamekuwa wakiutaka uongozi wa Yanga kukaa na kumalizana nae vizuri. 


Wengine wameshauri kama amepata timu nje aende lakini sio hapa Tanzania. Pondamali amesema Dida aliwaambia hatasaini mkataba na juhudi za kumbembeleza zimekwama. Hivyo kipa wa Afrikan Lyon waliyomsajili Beno Kakolanya walionaye na watasajili kipa mwingine chipukizi.

Comments

Popular posts from this blog

Siku ya jana yalifanyika maombi na mazishi mwimbaji mkongwe wa Msondo Ngoma, Shaaban Dede aliyefariki Alhamisi asubuhi, yamefanyika leo saa saba mchana na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa wakazi wa Dar es Salaam picha na sauti 5 bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Atimae Singida United kuanza maandalizi yake kuelekea msimu mpya wa ligi kuu tanzania bara

Atimae Anthony Martian aongezwa katika orodha ya kusajiliwa katika msimu huu katika club ya Manchester United taharifa hiyo imetolewa na Arsene Wenger