Geofrey hashingwa kuficha hisia zake kubaini mchezaji mwenzake hata kuwepo kwenye msimu ujao




KIUNGO Mshambuliaji wa Yanga, Geofrey Mwashiuya ameonesha hisia zake kali mara baada ya kubaini kwamba mchezaji mwenzake Haruna Niyonzima hatakuwepo katika kikosi chao msimu ujao.
Niyonzima ambaye ametajwa kusajiliwa na Simba kwa kandarasi ya miaka miwili, anaachana na Yanga mara baada ya kumaliza mkataba wake msimu uliopita kumalizika.
saria news  ilitembelea  kwenye mitandao ya kijamii na kushuhudia  baadhi ya wachezaji wa Yanga wakionesha hisia zao kuhusu kuondoka kwa  kiungo huyo mahariri katika kikosi chao.
Haya ni maneno ya Mwashiuya akimpa maneno ya kwa heri Niyonzima na kumtakia maisha mema katika timu yake mpya.
“Pengo kubwa  sana, dah nenda bro wangu Mungu akupe mafanikio mema huko uendako, nakukubali sana chaboli”.
Niyonzima anaondoka akiwa bado ana deni kubwa sana kwa Wana Yanga ambao walikuwa wanaona kama ndiyo mtu ambae alikuwa anajua nini anafanya awapo uwanjani.

Comments

Popular posts from this blog

Siku ya jana yalifanyika maombi na mazishi mwimbaji mkongwe wa Msondo Ngoma, Shaaban Dede aliyefariki Alhamisi asubuhi, yamefanyika leo saa saba mchana na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa wakazi wa Dar es Salaam picha na sauti 5 bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Atimae Singida United kuanza maandalizi yake kuelekea msimu mpya wa ligi kuu tanzania bara

Atimae Anthony Martian aongezwa katika orodha ya kusajiliwa katika msimu huu katika club ya Manchester United taharifa hiyo imetolewa na Arsene Wenger