REAL MADRID inakaribia kumnasa kipa David de Gea





REAL MADRID inakaribia kumnasa kipa David de Gea kutoka Manchester United, limeripoti gazeti la Don Balon la Hispania.


 Kipa huyo amekuwa akitamaniwa na mabingwa wa Hispania na Ulaya kwa miaka kadhaa sasa na uhamisho wake unaweza kukamilishwa kwa kubadilishana na Alvaro Morata.

Comments

Popular posts from this blog

Atimae Anthony Martian aongezwa katika orodha ya kusajiliwa katika msimu huu katika club ya Manchester United taharifa hiyo imetolewa na Arsene Wenger

Makaburi kumi yagundurika katika jamuhuri ya kidemokrasia ya kongo katika mkowa wa kasai