REAL MADRID inakaribia kumnasa kipa David de Gea





REAL MADRID inakaribia kumnasa kipa David de Gea kutoka Manchester United, limeripoti gazeti la Don Balon la Hispania.


 Kipa huyo amekuwa akitamaniwa na mabingwa wa Hispania na Ulaya kwa miaka kadhaa sasa na uhamisho wake unaweza kukamilishwa kwa kubadilishana na Alvaro Morata.

Comments

Popular posts from this blog

Q Chillah ametambulisha wimbo mpya alioshirikishwa na rapa Chid Benz

Mbunge wa Nzega (CCM), Hussein Bashe ameshindwa kuvumilia

ATIMAE MOHAMED SALAH AVUNJA REKODI YA LIVERPOOL