REAL MADRID inakaribia kumnasa kipa David de Gea





REAL MADRID inakaribia kumnasa kipa David de Gea kutoka Manchester United, limeripoti gazeti la Don Balon la Hispania.


 Kipa huyo amekuwa akitamaniwa na mabingwa wa Hispania na Ulaya kwa miaka kadhaa sasa na uhamisho wake unaweza kukamilishwa kwa kubadilishana na Alvaro Morata.

Comments

Popular posts from this blog

Siku ya jana yalifanyika maombi na mazishi mwimbaji mkongwe wa Msondo Ngoma, Shaaban Dede aliyefariki Alhamisi asubuhi, yamefanyika leo saa saba mchana na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa wakazi wa Dar es Salaam picha na sauti 5 bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Atimae Singida United kuanza maandalizi yake kuelekea msimu mpya wa ligi kuu tanzania bara

Atimae Anthony Martian aongezwa katika orodha ya kusajiliwa katika msimu huu katika club ya Manchester United taharifa hiyo imetolewa na Arsene Wenger