Real Madrid imemwingiza mshambuliaji kinda wa Manchester United Marcus Rashford kwenye mipango yao ya usajili ya kiangazi hiki.


Real Madrid imemwingiza mshambuliaji kinda wa Manchester United Marcus Rashford kwenye mipango yao ya usajili ya kiangazi hiki.


Mabingwa hao wa Hispania wataamua kumfungia kazi Rashford iwapo watakutana na ugumu wa kumsajili kinda wa Monaco Kylian Mbappe

Comments

Popular posts from this blog

Q Chillah ametambulisha wimbo mpya alioshirikishwa na rapa Chid Benz

Mbunge wa Nzega (CCM), Hussein Bashe ameshindwa kuvumilia

ATIMAE MOHAMED SALAH AVUNJA REKODI YA LIVERPOOL