Hatimae kocha wa Liverpool Jurgen klopp ametishia kupitisha panga kwenye timu yangu



KOCHA wa Liverpool, Jurgen Klopp ametishia kutembeza panga kwenye safu yake ya ushambuliaji endapo msimu ujao watashindwa kuonyesha makali yao.


 Hadi sasa kocha huyo ameshaongeza nguvu kwenye safu hiyo kwa kuwasajili Mohammed Salah kutoka AC Roma na huku tayari Dominic Solanke vilevile akiwa ameshawasili.

Comments

Popular posts from this blog

Siku ya jana yalifanyika maombi na mazishi mwimbaji mkongwe wa Msondo Ngoma, Shaaban Dede aliyefariki Alhamisi asubuhi, yamefanyika leo saa saba mchana na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa wakazi wa Dar es Salaam picha na sauti 5 bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Atimae Anthony Martian aongezwa katika orodha ya kusajiliwa katika msimu huu katika club ya Manchester United taharifa hiyo imetolewa na Arsene Wenger

Atimae Singida United kuanza maandalizi yake kuelekea msimu mpya wa ligi kuu tanzania bara