Hatimae kocha wa Liverpool Jurgen klopp ametishia kupitisha panga kwenye timu yangu



KOCHA wa Liverpool, Jurgen Klopp ametishia kutembeza panga kwenye safu yake ya ushambuliaji endapo msimu ujao watashindwa kuonyesha makali yao.


 Hadi sasa kocha huyo ameshaongeza nguvu kwenye safu hiyo kwa kuwasajili Mohammed Salah kutoka AC Roma na huku tayari Dominic Solanke vilevile akiwa ameshawasili.

Comments

Popular posts from this blog

Q Chillah ametambulisha wimbo mpya alioshirikishwa na rapa Chid Benz

Mbunge wa Nzega (CCM), Hussein Bashe ameshindwa kuvumilia

ATIMAE MOHAMED SALAH AVUNJA REKODI YA LIVERPOOL