Manchester United inaripotiwa iko mbioni kuipiku Chelsea katika mbio za kupata saini ya mshambuliaji wa Everton Romelu Lukaku kwa dili la pauni milioni 100.





Manchester United inaripotiwa iko mbioni kuipiku Chelsea katika mbio za kupata saini ya mshambuliaji wa Everton Romelu Lukaku kwa dili la pauni milioni 100.


 Msimu uliopita, United ilivunja rekodi ya usajili duniani pale ilipomrejesha Old Trafford kiungo Paul Pogba kwa pauni milioni 89, lakini sasa ipo tayari kuandika rekodi mpya kwa Lukaku ambaye anawindwa kwa udi na uvumba na Chelsea.



 Lukaku ananukia Old Trafford huku Wayne Rooney aliye mbioni kurejea Everton akiwa chambo cha kulainisha dili la Lukaku.

Comments

Popular posts from this blog

Siku ya jana yalifanyika maombi na mazishi mwimbaji mkongwe wa Msondo Ngoma, Shaaban Dede aliyefariki Alhamisi asubuhi, yamefanyika leo saa saba mchana na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa wakazi wa Dar es Salaam picha na sauti 5 bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

MTIBWA Sugar FC iliangusha pointi za kwanza baada ya kucheza mchezo wa nne msimu huu. Baada ya kuzishinda timu tatu kutoka Kanda ya Ziwa (Stand United, Mwadui FC, Mbao FC) mabingwa hao mara mbili wa zamani walilazimika kusawazisha goli la Zubery Daby na kupata sare ya kufungana 1-1 dhidi ya Ruvu Shooting ya Pwani katika mchezo wao wa kwanza ugenini.

Atimae timu ya Azam kwenda kwa kujiamini katika mchezo wa ugenini, timu ya Azam FC imejikuta ikivutwa shati baada ya kulazimishwa sare ya mabao 1-1 na timu ya Mwadui. Mechi hiyo ilichezwa juzi katika uwanja wa Mwadui Complex na kuishuhudia Azam FC ikiendelea kugandwa na jinamizi la sare.