Manchester United inaripotiwa iko mbioni kuipiku Chelsea katika mbio za kupata saini ya mshambuliaji wa Everton Romelu Lukaku kwa dili la pauni milioni 100.





Manchester United inaripotiwa iko mbioni kuipiku Chelsea katika mbio za kupata saini ya mshambuliaji wa Everton Romelu Lukaku kwa dili la pauni milioni 100.


 Msimu uliopita, United ilivunja rekodi ya usajili duniani pale ilipomrejesha Old Trafford kiungo Paul Pogba kwa pauni milioni 89, lakini sasa ipo tayari kuandika rekodi mpya kwa Lukaku ambaye anawindwa kwa udi na uvumba na Chelsea.



 Lukaku ananukia Old Trafford huku Wayne Rooney aliye mbioni kurejea Everton akiwa chambo cha kulainisha dili la Lukaku.

Comments

Popular posts from this blog

Siku ya jana yalifanyika maombi na mazishi mwimbaji mkongwe wa Msondo Ngoma, Shaaban Dede aliyefariki Alhamisi asubuhi, yamefanyika leo saa saba mchana na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa wakazi wa Dar es Salaam picha na sauti 5 bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Atimae Singida United kuanza maandalizi yake kuelekea msimu mpya wa ligi kuu tanzania bara

Miguu ya Ajib inavyopishana na akili ya Niyonzima