Wakiwa wanaelekea kuwa wachezaji 'pacha' ghali zaidi katika Premier League - Romelu Lukaku na Paul Pogba wanajifua vilivyo kwenye likizo yao huko Marekani.

Jose Mourinho anaamini kuwa klabu yake imefikia makubaliano na Everton ya kumnunua Lukaku kwa pauni milioni 75 ambayo itamfanya awe mchezaji ghali wa pili katika Premier League nyuma ya Paul Pogba aliyenunuliwa kwa pauni milioni 89.

Wawili hao wenye urafiki wa hali ya juu, wako mapumzikoni Los Angeles na wamekuwa wakijifua pamoja tayari kwa msimu mpya.

Lukaku anategemewa kufanya vipimo vya afya huko huko Los Angeles na inaaminika kuwa dili hilo lina ushawishi mkubwa kutoka kwa Pogba. 



Maswahiba Romelu Lukaku na Paul Pogba wakijifua kinoma


Comments

Popular posts from this blog

Siku ya jana yalifanyika maombi na mazishi mwimbaji mkongwe wa Msondo Ngoma, Shaaban Dede aliyefariki Alhamisi asubuhi, yamefanyika leo saa saba mchana na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa wakazi wa Dar es Salaam picha na sauti 5 bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Atimae Singida United kuanza maandalizi yake kuelekea msimu mpya wa ligi kuu tanzania bara

Atimae Anthony Martian aongezwa katika orodha ya kusajiliwa katika msimu huu katika club ya Manchester United taharifa hiyo imetolewa na Arsene Wenger