Hatimaye kwa siku ya jana timu ya EVERTON YALETA RAHA UWANJA WA TAIFA ...Rooney 'aiteka' Tanzania Gor Mahia ikilala 2-1






Akiwa katika ardhi ya Tanzania ndani ya dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Wayne Rooney akaifungia Everton bao lake la kwanza tangu arejee timu hiyo akitokea Manchester United.


 Katika mchezo huo wa kirafiki dhidi ya Gor Mahia ya Kenya, Rooney akaufanya uwanja wa Taifa ulipuke kwa furaha pale alipoifungia Everton bao la kwanza kwa shuti la mita 30 kunako dakika ya ya 37.


 Katika mchezo huo ulioisha kwa Everton kuibuka na ushindi wa 2-1, ikawachukua Gor Mahia dakika mbili tu kusawazisha bao kupitia kwa Tuyisenge. Wakati mchezo ukielekea ukingoni, Everton wakapata bao la ushindi dakika ya 86 kwa mkwaju mkali wa Kieran Dowell.

Comments

Popular posts from this blog

Siku ya jana yalifanyika maombi na mazishi mwimbaji mkongwe wa Msondo Ngoma, Shaaban Dede aliyefariki Alhamisi asubuhi, yamefanyika leo saa saba mchana na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa wakazi wa Dar es Salaam picha na sauti 5 bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Atimae Anthony Martian aongezwa katika orodha ya kusajiliwa katika msimu huu katika club ya Manchester United taharifa hiyo imetolewa na Arsene Wenger

MTIBWA Sugar FC iliangusha pointi za kwanza baada ya kucheza mchezo wa nne msimu huu. Baada ya kuzishinda timu tatu kutoka Kanda ya Ziwa (Stand United, Mwadui FC, Mbao FC) mabingwa hao mara mbili wa zamani walilazimika kusawazisha goli la Zubery Daby na kupata sare ya kufungana 1-1 dhidi ya Ruvu Shooting ya Pwani katika mchezo wao wa kwanza ugenini.