Rais wa TFF Jamal Malinzi na Katibu MKuu wa TFF Selestine Mwesigwa watafikishwa mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Juni 29, 2017 kwa ajili ya taratibu za kimahakama kuchukua nafasi yake.



Rais wa TFF Jamal Malinzi na Katibu MKuu wa TFF Selestine Mwesigwa watafikishwa mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Juni 29, 2017 kwa ajili ya taratibu za kimahakama kuchukua nafasi yake.

Afisa uhusiano wa TAKUKURU Musa Misalaba amethibisha kwamba, Malinzi na mwenzake watafikishwa mahakama ya Kisutu leo.

Malinzi na Mwesigwa wanashikiliwa na TAKUKURU kwa ajili ya mahojiano lakini tangu kushikiliwa kwao, TAKUKURU hawajaweka wazi sababu za kuwashikilia licha ya kusema wanawahoji na kuendelea na uchunguzi wao.

Comments

Popular posts from this blog

Hatimae kocha wa Panone FC jumanne Ntambi amejiunga na mwadui fc kuchukua nafasi ya Ali Bushir

Siku ya jana yalifanyika maombi na mazishi mwimbaji mkongwe wa Msondo Ngoma, Shaaban Dede aliyefariki Alhamisi asubuhi, yamefanyika leo saa saba mchana na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa wakazi wa Dar es Salaam picha na sauti 5 bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Atimae Anthony Martian aongezwa katika orodha ya kusajiliwa katika msimu huu katika club ya Manchester United taharifa hiyo imetolewa na Arsene Wenger