vijana wakimtukuza mungu katika tamasha la vijana arusha katika ukumbi wa ajtc

vijana wakimtukuza mungu leo katika viwanja vya ajtc arusha hamakweli  watu wamebarikiwa  na kumtukuza mungu.waimbaji  tofauti tofauti wakimtukuza mungu  na watu waliweza kufunguliwa  shida zao  na atimae aliye fungwa na vifungo na shetani vilifunguka na watu waliweza kumtukuza mungu kwa  roho na kweli .

watu wakiwa katika uwepo wa bwana wakisikiliza na kutafakari maajabu ya  mungu  aliyo yatenda katika maisha yao hapa duniani   waumini wote wametakiwa kumuabudu muhumba wao katika maisha yao wanapo ishi duniani  wamkumbuke muhumba wao popote walipo wakumbuke kwamba hapa duniani si kwao bali sisi ni watu tunao pita hatuna makao bali kwetu ni mbinguni alipo baba  muhumba bingu



huyo ni mwalimu  Elihuluma stanford chao akimuinuwa mungu  katika viwanja vya ajtc leo  alimtukuza  mungu kwa jitiada zake  zote kwa kadri mungu alivyo mjalia aliweza kumuhinuwa mungu.hakika mungu aliweza  kuonekana mahali hapo.


huyo ni mwalimu Lucas  Modaa  akisikiliza kwamakini wakati wa  tamasha la vijana katika ukumbi wa ajtc

Comments

Popular posts from this blog

Siku ya jana yalifanyika maombi na mazishi mwimbaji mkongwe wa Msondo Ngoma, Shaaban Dede aliyefariki Alhamisi asubuhi, yamefanyika leo saa saba mchana na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa wakazi wa Dar es Salaam picha na sauti 5 bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Atimae Anthony Martian aongezwa katika orodha ya kusajiliwa katika msimu huu katika club ya Manchester United taharifa hiyo imetolewa na Arsene Wenger

MTIBWA Sugar FC iliangusha pointi za kwanza baada ya kucheza mchezo wa nne msimu huu. Baada ya kuzishinda timu tatu kutoka Kanda ya Ziwa (Stand United, Mwadui FC, Mbao FC) mabingwa hao mara mbili wa zamani walilazimika kusawazisha goli la Zubery Daby na kupata sare ya kufungana 1-1 dhidi ya Ruvu Shooting ya Pwani katika mchezo wao wa kwanza ugenini.