Nusu fainali kombe la dunia la vijana kuchezwa leo

Michezo miwili ya nusu fainali ya kombe la dunia la vijana chini ya miaka 20 itapigwa leo huko korea kusini.
Uruguay waliowaondosha Ureno katika robo fainali watashuka katika dimba la Daejeon kukipiga na Venezuela waliowaondosha Marekani katika hatua ya robo fainali.

 Katika dimba la Jeonju Italy, waliowafungisha virago Zambia watakipiga na England,ambao waliwaondosha Mexico katika robo fainali.
Michezo ya mshindi wa tatu na fainali itapigwa tarehe 11 ya mwezi huu katika Suwon.


Comments

Popular posts from this blog

Siku ya jana yalifanyika maombi na mazishi mwimbaji mkongwe wa Msondo Ngoma, Shaaban Dede aliyefariki Alhamisi asubuhi, yamefanyika leo saa saba mchana na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa wakazi wa Dar es Salaam picha na sauti 5 bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Atimae Anthony Martian aongezwa katika orodha ya kusajiliwa katika msimu huu katika club ya Manchester United taharifa hiyo imetolewa na Arsene Wenger

Atimae Singida United kuanza maandalizi yake kuelekea msimu mpya wa ligi kuu tanzania bara