kongamano la vijana wakimsifu kutoka sehemu mbalimbali ulimwenguni

leo tarehe  23/6/2017 wakimsifu mungu  katika viwanja vya AJTC  waimbaji mbalimbali wamehudhuria katika tamasha hilo akiwemo muhimbaji Elihuruma Stanford Chao kutoka arusha ,Emanuel  kutoka ajtc Arusha ,pamoja na kwaya ya preas  kutoka ajtc arusha
vijana wakimsifu Mungu kwa roho na kweli katika viwanja vya Ajtc
      watu wakiimba wimbo wa kuabudu
  hakika bwana ameonekana mahali hapa
 Godfreay  akiwaongoza  wenzake katika  ukumbi wa ajtc leo
 vijana wakimuhabudu muhumba wao katika viwanja vya  ajtc siku ya leo ijumaa tulivu ya tarehe 23/6/2017
vijana wakimtukuza bwana kwaro  na ukweli katika viwanja vya Ajtc leo  mapema

Comments

Popular posts from this blog

Siku ya jana yalifanyika maombi na mazishi mwimbaji mkongwe wa Msondo Ngoma, Shaaban Dede aliyefariki Alhamisi asubuhi, yamefanyika leo saa saba mchana na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa wakazi wa Dar es Salaam picha na sauti 5 bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Atimae Anthony Martian aongezwa katika orodha ya kusajiliwa katika msimu huu katika club ya Manchester United taharifa hiyo imetolewa na Arsene Wenger

MTIBWA Sugar FC iliangusha pointi za kwanza baada ya kucheza mchezo wa nne msimu huu. Baada ya kuzishinda timu tatu kutoka Kanda ya Ziwa (Stand United, Mwadui FC, Mbao FC) mabingwa hao mara mbili wa zamani walilazimika kusawazisha goli la Zubery Daby na kupata sare ya kufungana 1-1 dhidi ya Ruvu Shooting ya Pwani katika mchezo wao wa kwanza ugenini.