Q Chillah ametambulisha wimbo mpya alioshirikishwa na rapa Chid Benz







STAA wa muziki wa kizazi kipya, Q Chillah ametambulisha wimbo mpya alioshirikishwa na rapa Chid Benz kwa staili ya kumwaga machozi wakati akiwa kwenye mahojiano.




Q Chillah alisema kwamba anaguswa na hali ya Chid Benz ambaye alikaa kwenye rehab kwa muda mrefu akitibu tatizo la matumizi ya dawa za kulevya. “Nimeguswa na hali ya Chid Benz na najua nimepitia hali nyingi sana kwenye maisha ambazo Chid pia amepita,” alisema rapa huyo .




“Lakini kikubwa kilichoniliza nimewahi kuwapoteza marafiki wakubwa sana ambao niliwapenda, wasanii wenye majina makubwa Tanzania, mtu kama Albert Mangweha “Ngawair” Mwana hiphop ambaye mimi sijawahi kumuona zaidi yake,” alimaliza rapa huyo. Marapa hao Q Chillah na Chid Benz kwa wakati tofauti wote waliwahi kukiri kuathiriwa na matumizi ya dawa za kulevya.

Comments

Popular posts from this blog

Siku ya jana yalifanyika maombi na mazishi mwimbaji mkongwe wa Msondo Ngoma, Shaaban Dede aliyefariki Alhamisi asubuhi, yamefanyika leo saa saba mchana na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa wakazi wa Dar es Salaam picha na sauti 5 bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Atimae Anthony Martian aongezwa katika orodha ya kusajiliwa katika msimu huu katika club ya Manchester United taharifa hiyo imetolewa na Arsene Wenger

MTIBWA Sugar FC iliangusha pointi za kwanza baada ya kucheza mchezo wa nne msimu huu. Baada ya kuzishinda timu tatu kutoka Kanda ya Ziwa (Stand United, Mwadui FC, Mbao FC) mabingwa hao mara mbili wa zamani walilazimika kusawazisha goli la Zubery Daby na kupata sare ya kufungana 1-1 dhidi ya Ruvu Shooting ya Pwani katika mchezo wao wa kwanza ugenini.