Pesa zaongezeka na kutoweka kimiujiza kutoka akaunti za benki Ufilipino
Benki ya Philippines Islands BPI inasema kuwa tatazo kubwa la mtandao limesababisha pesa kutoweka na pia kuongezeka kwa akaunti za wateja nchini Ufilipino
Tatizo hilo lilisababisha kutoweka kwa maelfu ya pesa za ufilipino, huku baadhi ya watu wakiripoti kuwa walipoteza pesa zote.
Mkurugenzi mkuu wa BPI Cezar Consing, aliomba msamaha siku ya Jumatano wakati wa mahojiano na kituo kimoja cha runinga.

Comments
Post a Comment