Pesa zaongezeka na kutoweka kimiujiza kutoka akaunti za benki Ufilipino

Benki ya Philippines Islands BPI inasema kuwa tatazo kubwa la mtandao limesababisha pesa kutoweka na pia kuongezeka kwa akaunti za wateja nchini Ufilipino
Tatizo hilo lilisababisha kutoweka kwa maelfu ya pesa za ufilipino, huku baadhi ya watu wakiripoti kuwa walipoteza pesa zote.
Mkurugenzi mkuu wa BPI Cezar Consing, aliomba msamaha siku ya Jumatano wakati wa mahojiano na kituo kimoja cha runinga.

Comments

Popular posts from this blog

Siku ya jana yalifanyika maombi na mazishi mwimbaji mkongwe wa Msondo Ngoma, Shaaban Dede aliyefariki Alhamisi asubuhi, yamefanyika leo saa saba mchana na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa wakazi wa Dar es Salaam picha na sauti 5 bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Atimae Singida United kuanza maandalizi yake kuelekea msimu mpya wa ligi kuu tanzania bara

Atimae Anthony Martian aongezwa katika orodha ya kusajiliwa katika msimu huu katika club ya Manchester United taharifa hiyo imetolewa na Arsene Wenger